1
Diamond Platnamz ataendelea kuwa newzmaker kuliko msanii yeyote tanzania. Hii ni picha ya Diamond akiwa amelala usingizi wa pono na msichana anayeitwa Penny Mungilwa akavj Penny ambaye ni mtangazaji wa DTV. Picha hii inajieleza yenyewe kwa pozi walilolala kuwa ni wapenzi. Kwa sasa Diamond ndio menzi wake mpya

Post a Comment

  1. kiukweli mond iyo style siyo au kwasababu umetokea family mbovu ndio unalimbuka na life bongo mtasubili sana miaka mia nane

    ReplyDelete

 
Top