0
Hivi karibuni tulisikia nyimbo collabo iliyofanya vizuri kati ya AY,F.A &J martins toka Nigeria, Ngoma inafahamika kama KUNJA GOTI, Lakini hapa nipo kukujuza zaidi shabiki wa AY & F.A kuwa jamaa hawa wapo nchini South Africa huko wameungana na Msanii J.Martins toka Nigeria na wapo kikazi zaidi kuwaletea watanzania Mahakuli yanayopikwa saawia kabisa nikimanisha Kichupa cha Cheza Bila Kukunja Goti kinatakamilika and Soon tutakiona kwenye Televisheni zetu,So watu wangu wa kweli Kaeni Mkao wa Kula kusubiria kichupa hiki kinachosimamiwa na Production ya kutoka nchini South Africa........ Hawa ndio wanyamwezi wanaosimamia mzigo huu nchini South Africa..... Kwa mbali waeza mcheki Msanii AY akifanya yake mbele ya Camera....

Post a Comment

 
Top